Jukwaa la watoto
Mambo ya mchezo na burdani hutumia muda mwingi kwa watoto kwani masomo kwa watoto huwa hayanogi kama hapana kuruka ruka na kuimba. Katika kuitathmini mchango wa watoto na kuendeleza vipaji vyao tamasha limeandaa ngoma, michezo, nyimbo filamu za sinema na video na warsha za mfunzo kwa watoto.

Watoto watelimishwa haki zao, hasa kwa kupitia mradi wa Sara watoto wa Shirika la Unicef . Pia wataburudishwa na michezo ya kuigiza na sarakasi. Jukwaa la wanawake: Wanawake pia wataleta umuhimu la uatamaduni na maendeleo katika jamii na wataandaa warsha na mazugumzo kuhusu maisha ya mwanamke katika dunia la wasanii. Jukwaa la vijiji: Tamasha hii ni itaonesha filamu, mchezo za kuigiza, burudani la musiki na kadhalika.

Muandishi
Said Salem