Jukwaa la Wanawake
Katika Jukwaa hili mambo yanategemewa kuwa yalionoga kwani katika fani ya kupioka mambo yakawiva vizuri wanawake ndio wenyewe. Jukwaa hili, kama linavyokuwa lile la bi harusi limepambwa na maonyeshoi ya mavazi ya aina kwa aina, makongomano na warsha zinazotilia mkazo uwezo na nafasi ya wanawake katika maendeleo ya jamii.

Miongoni mwa mada zitakazojadiliwa ni namna gani vyombo vya habari vinaweza khaasisha wanawake na kuelimisha jamii juu ya masula ya kijinsia bila ya kuleta kutoelewana kati ya akina baba na na akina mama. Wanawake pia watapatiwa taaluma, ijapokuwa kwa muhtasari ju ya utengenezaji wa filamu. Mgeni rasmi katika kongomano hili ni mtengenzaji filamu wa ethiopia ambaye hivi sasa ni Profesa Mwanadamizi, Salem Mekuria ambaye ataonyesha filamu yake iitwayo Sidet aliyoitengeneza mwaka 1991 na Ye Won Maibel ya mwaka/ Deluge ya mwaka 1997.

Pia atakuwepo mmoja wa wasanii nyota wa India Shabana Azmi. Huyu ni muigizaji sinema, mbunge na mpigania haki za wanawake .

Muandishi
Said Salem